Mwaka 1964 hadi 1974 liliongozwa na Jenerali Mirisho Sarakikya
Mwaka 1974 hadi 1980 liliongozwa na Jenerali Abdalah Twalipo.
Mwaka 1980 hadi 1988 liliongozwa na Jenerali David Musuguri.
Mwaka 1988 hadi 1994 liliongozwa na Jenerali Mwita Kiaro.
Mwaka 1994 hadi 2001 liliongozwa na Jenerali Robert Mboma.
Mwaka 2001 hadi 2007 liliongozwa na Jenerali George Waitara.
Mwaka 2007 hadi 2017 liliongozwa na Jenerali Davis Mwamunyange
Mwaka 2017 hadi 2022 liliongozwa na Jenerali Venance Mabeyo
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.